Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ila tu asiongeze farasi kwa ajili yake,+ wala kuwafanya watu warudi Misri ili kuongeza farasi;+ huku Yehova amewaambia ninyi, ‘Msirudi kamwe tena katika njia hii.’

  • Zaburi 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+

      Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+

  • Zaburi 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Farasi ni udanganyifu kwa ajili ya wokovu,+

      Na kwa wingi wa nguvu zake haokoi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki