20“Ikiwa utaenda katika pigano juu ya adui zako nawe uone farasi na magari ya vita,+ watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa maana Yehova Mungu wako yuko pamoja nawe,+ aliyekutoa katika nchi ya Misri.+
4 Naye Daudi akateka kutoka kwake wapanda-farasi 1,700 na watu 20,000 wanaoenda kwa miguu;+ na Daudi akakata mishipa ya magoti+ ya farasi+ wote wa magari, lakini akawaacha wabaki kati yao farasi 100 wa magari.