Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Asa akaanza kumwita Yehova Mungu+ wake, na kusema: “Ee Yehova, kwa habari ya kusaidia, si kitu kwako kama kuna wengi au wale wasio na nguvu.+ Utusaidie, Ee Yehova Mungu wetu, kwa maana sisi tunakuegemea wewe,+ nasi kwa jina lako+ tumekuja kupigana na umati huu. Ee Yehova, wewe ni Mungu wetu.+ Usiache mwanadamu anayeweza kufa apate nguvu juu yako.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ee Mungu wetu, je, hutafanya hukumu juu yao?+ Kwa maana hakuna nguvu ndani yetu mbele ya umati huu mkubwa unaokuja juu yetu;+ nasi wenyewe hatujui tunalopaswa kufanya,+ lakini macho yetu yanakuelekea wewe.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yeye, mkono wa nyama uko pamoja naye,+ lakini sisi, Yehova Mungu wetu yuko pamoja nasi+ ili kutusaidia na kupigana vita vyetu.”+ Na watu wakaanza kujitegemeza juu ya maneno ya Hezekia mfalme wa Yuda.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki