Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Yehova akamwambia Gideoni: “Kwa watu hawa mia tatu walioramba nitawaokoa ninyi, nami nitatia Midiani mkononi mwako.+ Lakini hawa watu wengine wote na waende kila mmoja mahali pake.”

  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+

  • Amosi 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 yeye ambaye anasababisha uporaji uje ghafula juu ya mtu mwenye nguvu, ili uporaji uje hata juu ya mahali penye ngome.

  • 1 Wakorintho 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+

  • 2 Wakorintho 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na bado kwa kweli akaniambia: “Fadhili zangu zisizostahiliwa zinakutosha+ wewe; kwa maana nguvu zangu zinakamilishwa katika udhaifu.”+ Kwa furaha zaidi, basi, ni afadhali nijisifu kwa habari ya udhaifu wangu,+ ili nguvu za Kristo zibaki juu yangu kama hema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki