Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sasa Yehova akamwambia Gideoni: “Watu ulio nao ni wengi mno nisiweze kuwatia Midiani mkononi mwao.+ Labda Israeli watajivuna+ dhidi yangu, wakisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa.’+

  • 1 Samweli 14:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi Yonathani akamwambia yule mtumishi, mchukua-silaha wake: “Haya njoo, na tuvuke, twende kwenye kituo cha mbele cha wanaume hawa wasiotahiriwa.+ Labda Yehova atatenda kwa ajili yetu, kwa maana hakuna kizuizi chochote kwa Yehova kuokoa kwamba ni kwa wengi au ni kwa wachache.”+

  • Isaya 41:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Usiogope, wewe Yakobo uliye mdudu,+ ninyi watu wa Israeli.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia,” asema Yehova, Mkombozi+ wako, Mtakatifu wa Israeli.

  • Waebrania 11:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki