Ayubu 25:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sembuse mwanadamu anayeweza kufa, ambaye ni funza,Na mwana wa binadamu, ambaye ni mnyoo!”+ Zaburi 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini mimi ni mdudu,+ wala si mtu,Shutuma kwa wanadamu na mwenye kudharaulika kwa watu.+