Ayubu
25 Naye Bildadi+ Mshua akajibu, akasema:
2 “Utawala na hofu ziko kwake;+
Anafanya amani katika vilele vyake.
3 Je, majeshi yake yana hesabu?
Na ni juu ya nani nuru yake haiangazi?
4 Basi mwanadamu anayeweza kufa anawezaje kuwa upande wa haki mbele za Mungu,+
Au, mtu aliyezaliwa na mwanamke anawezaje kuwa safi?+
5 Tazama! Kuna hata mwezi, nao si mwangavu;
Nazo nyota zenyewe si safi machoni pake.