Zaburi 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+ Isaya 53:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+ mtu aliyekusudiwa maumivu na kuzoeana na ugonjwa.+ Na ilikuwa kana kwamba uso ulifichwa kutoka kwetu.+ Alidharauliwa, nasi tulimhesabu kuwa asiye na maana.+ Yohana 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kustaajabu, wakisema: “Mtu huyu amepataje ujuzi wa maandishi,+ na yeye hajajifunza shuleni?”+
11 Nimekuwa shutuma+ kwa wale wote wanaonionyesha uadui,+Na nimekuwa hivyo hata zaidi kwa jirani zangu,+Na kitu chenye kutia hofu kwa rafiki zangu.+Wakati wanaponiona nje, wamenikimbia.+
3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+ mtu aliyekusudiwa maumivu na kuzoeana na ugonjwa.+ Na ilikuwa kana kwamba uso ulifichwa kutoka kwetu.+ Alidharauliwa, nasi tulimhesabu kuwa asiye na maana.+
15 Kwa hiyo Wayahudi wakaanza kustaajabu, wakisema: “Mtu huyu amepataje ujuzi wa maandishi,+ na yeye hajajifunza shuleni?”+