13 Kwa hiyo Yehova akaniambia: “Utupe ndani ya hazina+—thamani tukufu ambayo nimekadiriwa kwa maoni yao.”+ Ndipo nikavichukua vile vipande 30 vya fedha, nami nikavitupa ndani ya hazina katika nyumba ya Yehova.+
13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza+ Mtumishi+ wake, Yesu, ambaye ninyi mlimpeleka+ na kumkana mbele ya uso wa Pilato, alipokuwa ameamua kumfungua.+