Kutoka 21:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa aliyepigwa ni mtumwa au ni kijakazi, mwenye ng’ombe-dume atamlipa bwana wake bei ya shekeli 30,+ naye ng’ombe-dume atapigwa kwa mawe. Marko 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+
32 Ikiwa aliyepigwa ni mtumwa au ni kijakazi, mwenye ng’ombe-dume atamlipa bwana wake bei ya shekeli 30,+ naye ng’ombe-dume atapigwa kwa mawe.
11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+