Zekaria 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+ Mathayo 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo likatimizwa lililosemwa kupitia nabii Yeremia, akisema: “Nao walichukua vile vipande 30 vya fedha,+ ambavyo ni bei juu ya mtu aliyepigwa bei, ambaye baadhi ya wana wa Israeli walimpigia bei,
12 Ndipo nikawaambia: “Ikiwa vema machoni penu,+ nipeni mshahara wangu; lakini kama sivyo, acheni.” Basi wakalipa mshahara wangu, vipande 30 vya fedha.+
9 Ndipo likatimizwa lililosemwa kupitia nabii Yeremia, akisema: “Nao walichukua vile vipande 30 vya fedha,+ ambavyo ni bei juu ya mtu aliyepigwa bei, ambaye baadhi ya wana wa Israeli walimpigia bei,