Yohana 7:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Hata hivyo, alisema hilo kuhusu ile roho ambayo wale waliomwamini wangepokea hivi karibuni; kwa maana kufikia wakati huo roho+ haikuwapo, kwa sababu Yesu hakuwa ametukuzwa+ bado. Wafilipi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+
39 Hata hivyo, alisema hilo kuhusu ile roho ambayo wale waliomwamini wangepokea hivi karibuni; kwa maana kufikia wakati huo roho+ haikuwapo, kwa sababu Yesu hakuwa ametukuzwa+ bado.
9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+