33 Kwa hiyo kwa sababu aliinuliwa kwenye mkono wa kuume wa Mungu+ na kupokea roho takatifu iliyoahidiwa kutoka kwa Baba,+ amemimina hiki ambacho ninyi mnakiona na kukisikia.
21 juu zaidi kuliko kila serikali na mamlaka na nguvu na utawala+ na kila jina linalotajwa,+ si katika mfumo huu wa mambo+ tu, bali pia katika ule ujao.+