1 Wakorintho 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Halafu, ule mwisho, wakati atakapomkabidhi ufalme Mungu wake ambaye pia ni Baba yake, wakati atakapokuwa ameangamiza serikali yote na mamlaka yote na nguvu zote.+ Wakolosai 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kwa hiyo ninyi mna ujazo kwa njia yake, ambaye ni kichwa cha serikali yote na mamlaka.+ Waebrania 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo amekuwa bora kuliko malaika,+ kwa kuwa amerithi jina+ bora kabisa kuliko lao.
24 Halafu, ule mwisho, wakati atakapomkabidhi ufalme Mungu wake ambaye pia ni Baba yake, wakati atakapokuwa ameangamiza serikali yote na mamlaka yote na nguvu zote.+