26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba atatuma katika jina langu, hiyo itawafundisha ninyi mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
4 Naye alipokuwa akikutana pamoja nao aliwapa maagizo haya: “Msiondoke Yerusalemu,+ bali endeleeni kungojea kile ambacho Baba ameahidi,+ ambacho mlisikia juu yake kutoka kwangu;