Waroma 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+ Wafilipi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+ 1 Petro 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika+ na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+
34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+
9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+
22 Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika+ na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+