Mathayo 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye Yesu akakaribia na kuwaambia, akisema: “Nimepewa mamlaka yote+ mbinguni na duniani. 1 Wakorintho 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana ni lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu awe ameweka adui zote chini ya miguu yake.+ Waefeso 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 juu zaidi kuliko kila serikali na mamlaka na nguvu na utawala+ na kila jina linalotajwa,+ si katika mfumo huu wa mambo+ tu, bali pia katika ule ujao.+ Wafilipi 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+
21 juu zaidi kuliko kila serikali na mamlaka na nguvu na utawala+ na kila jina linalotajwa,+ si katika mfumo huu wa mambo+ tu, bali pia katika ule ujao.+
9 Kwa sababu hii pia Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu ya kila jina lingine,+