Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Matendo 7:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Lakini yeye, akiwa amejaa roho takatifu, akakaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, Waebrania 10:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima+ na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+
55 Lakini yeye, akiwa amejaa roho takatifu, akakaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu na wa Yesu akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu,
12 Lakini mtu huyu alitoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi daima+ na kuketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu,+