Mathayo 22:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 ‘Yehova alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako” ’?+ Matendo 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.” ’+ 1 Wakorintho 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana ni lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu awe ameweka adui zote chini ya miguu yake.+ Waebrania 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini amepata kusema hivi kuhusu nani kati ya malaika: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume, mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako”?+ Waebrania 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 tangu wakati huo na kuendelea akingojea mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+
44 ‘Yehova alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume mpaka niwaweke adui zako chini ya miguu yako” ’?+
13 Lakini amepata kusema hivi kuhusu nani kati ya malaika: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume, mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako”?+