Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Matendo 2:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.” ’+ 1 Wakorintho 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana ni lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu awe ameweka adui zote chini ya miguu yake.+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+