Zaburi 110:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+ Matendo 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa kweli Daudi hakupanda mbinguni,+ bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume,+ 1 Wakorintho 15:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana ni lazima atawale akiwa mfalme mpaka Mungu awe ameweka adui zote chini ya miguu yake.+ Waebrania 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini amepata kusema hivi kuhusu nani kati ya malaika: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume, mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako”?+ Waebrania 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 tangu wakati huo na kuendelea akingojea mpaka adui zake wawekwe kuwa kiti cha miguu yake.+
110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+“Keti kwenye mkono wangu wa kuume+Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+
34 Kwa kweli Daudi hakupanda mbinguni,+ bali yeye mwenyewe anasema, ‘Yehova alimwambia Bwana wangu: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume,+
13 Lakini amepata kusema hivi kuhusu nani kati ya malaika: “Keti kwenye mkono wangu wa kuume, mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako”?+