Ayubu 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+ Zaburi 35:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao hufungua kinywa chao wazi dhidi yangu.+Wamesema: “Aha! Aha! jicho letu limeyaona.”+ Maombolezo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+ Mathayo 26:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.
10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+
16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+