Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+

      Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,

      Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+

  • Zaburi 35:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao hufungua kinywa chao wazi dhidi yangu.+

      Wamesema: “Aha! Aha! jicho letu limeyaona.”+

  • Maombolezo 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+

      Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+

      Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+

  • Mathayo 26:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na kushauriana+ pamoja ili wamkamate Yesu kwa hila na kumuua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki