Ayubu 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+ Zaburi 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wamefungua vinywa vyao dhidi yangu,+Kama simba anayerarua vipande-vipande na kunguruma.+ Zaburi 35:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nao hufungua kinywa chao wazi dhidi yangu.+Wamesema: “Aha! Aha! jicho letu limeyaona.”+ Zaburi 109:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+
10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+
2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+