Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+

      Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,

      Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+

  • Zaburi 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wamefungua vinywa vyao dhidi yangu,+

      Kama simba anayerarua vipande-vipande na kunguruma.+

  • Zaburi 35:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao hufungua kinywa chao wazi dhidi yangu.+

      Wamesema: “Aha! Aha! jicho letu limeyaona.”+

  • Zaburi 109:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana kinywa cha mwovu na kinywa cha udanganyifu vimefunguka juu yangu.+

      Wamesema juu yangu kwa ulimi wa uwongo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki