2 Samweli 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye Absalomu humwambia: “Tazama, mambo yako ni mema na manyoofu; lakini hakuna yeyote wa kutoka kwa mfalme anayekusikiliza.”+ Zaburi 31:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+ Methali 15:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+ Mathayo 26:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+
3 Naye Absalomu humwambia: “Tazama, mambo yako ni mema na manyoofu; lakini hakuna yeyote wa kutoka kwa mfalme anayekusikiliza.”+
18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+
59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+