Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye Absalomu humwambia: “Tazama, mambo yako ni mema na manyoofu; lakini hakuna yeyote wa kutoka kwa mfalme anayekusikiliza.”+

  • Zaburi 31:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Midomo inayosema uwongo na ishindwe kusema,+

      Inayosema mambo dhidi ya mwadilifu,+ bila kujizuia katika majivuno na dharau.+

  • Methali 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Moyo wa mwadilifu hutafakari ili kujibu,+ lakini kinywa cha waovu hububujika mambo mabaya.+

  • Mathayo 26:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 Wakati huohuo wakuu wa makuhani na Sanhedrini nzima walikuwa wakitafuta ushahidi wa uwongo juu ya Yesu ili wamuue,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki