Zaburi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+ Methali 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila. Mathayo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako’;+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+ 2 Petro 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+
2 Wao huendelea kusemezana mambo yasiyo ya kweli;+Kwa midomo laini+ wao huendelea kusema wakiwa na mioyo miwili.+
17 Jicho ambalo humdhihaki baba na kudharau utii kwa mama+—kunguru wa bondeni wataling’oa na wana wa tai watalila.
4 Kwa mfano, Mungu alisema, ‘Mheshimu baba yako na mama yako’;+ na, ‘Yule anayemtukana baba yake au mama yake na afe.’+
10 hasa wale ambao huufuata mwili wakiwa na tamaa ya kuutia unajisi+ na ambao hudharau mamlaka.+ Ni wajasiri, washupavu, hawatetemeki mbele ya watukufu bali hutukana,+