Zaburi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+ Zaburi 41:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mtu akija kuniona, moyo wake utasema mambo yasiyo ya kweli;+Atajikusanyia jambo lenye kuumiza; Atatoka nje; huko nje atalisema.+
7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+
6 Na mtu akija kuniona, moyo wake utasema mambo yasiyo ya kweli;+Atajikusanyia jambo lenye kuumiza; Atatoka nje; huko nje atalisema.+