Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+

      Mtu anayemwaga damu+ na mdanganyifu+ Yehova anamchukia.

  • Zaburi 59:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+

      Na wakamatwe katika kiburi chao,+

      Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.

  • Waroma 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na kinywa chao kimejaa kulaani na maneno machungu.”+

  • 1 Petro 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki