Zaburi 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Utawaangamiza wale wanaosema uwongo.+Mtu anayemwaga damu+ na mdanganyifu+ Yehova anamchukia. Zaburi 59:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza. Waroma 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na kinywa chao kimejaa kulaani na maneno machungu.”+ 1 Petro 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+
12 Kwa sababu ya dhambi ya kinywa chao, neno la midomo yao;+Na wakamatwe katika kiburi chao,+Naam, kwa sababu ya laana na udanganyifu ambao wanajizoeza.
10 Kwa maana, “yeye ambaye anapenda uzima na kuona siku zilizo njema,+ na auzuie ulimi+ wake kutokana na yaliyo mabaya na midomo yake isiseme udanganyifu,+