Zaburi 34:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Linda ulimi wako na yaliyo mabaya,+Na midomo yako isiseme udanganyifu.+ 1 Timotheo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vivyo hivyo wanawake wanapaswa kuwa wenye kuchukua mambo kwa uzito, si wenye uchongezi,+ wawe wenye kiasi+ katika mazoea, waaminifu katika mambo yote.+
11 Vivyo hivyo wanawake wanapaswa kuwa wenye kuchukua mambo kwa uzito, si wenye uchongezi,+ wawe wenye kiasi+ katika mazoea, waaminifu katika mambo yote.+