Zaburi 39:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+ Methali 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Utulivu wa ulimi ni mti wa uzima,+ lakini upotovu wake humaanisha kuvunjika katika roho.+ Yakobo 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ikiwa mtu yeyote anajiona kuwa mwabudu anayeshikilia vizuri namna ya ibada+ na bado hauongozi ulimi wake,+ bali anaendelea kuudanganya moyo wake mwenyewe,+ namna ya ibada ya mtu huyo ni ya ubatili.+ Yakobo 3:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+
39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+
26 Ikiwa mtu yeyote anajiona kuwa mwabudu anayeshikilia vizuri namna ya ibada+ na bado hauongozi ulimi wake,+ bali anaendelea kuudanganya moyo wake mwenyewe,+ namna ya ibada ya mtu huyo ni ya ubatili.+
8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+