Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 39:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nilisema: “Nitalinda njia zangu+

      Ili nisiendelee kutenda dhambi kwa ulimi wangu.+

      Nitaweka lijamu kama mlinzi wa kinywa changu mwenyewe,+

      Maadamu mtu yeyote mwovu yuko mbele yangu.”+

  • Methali 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Utulivu wa ulimi ni mti wa uzima,+ lakini upotovu wake humaanisha kuvunjika katika roho.+

  • Yakobo 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Ikiwa mtu yeyote anajiona kuwa mwabudu anayeshikilia vizuri namna ya ibada+ na bado hauongozi ulimi wake,+ bali anaendelea kuudanganya moyo wake mwenyewe,+ namna ya ibada ya mtu huyo ni ya ubatili.+

  • Yakobo 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Lakini ulimi, hakuna hata mmoja wa wanadamu anayeweza kuufuga. Huo ni kitu kitundu chenye kudhuru, umejaa sumu yenye kuua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki