Luka 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+ Ufunuo 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu na si moto+ wala si baridi,+ nitakutapika kutoka kinywani mwangu.
14 Ninawaambia ninyi, Mtu huyu alishuka kwenda nyumbani kwake akiwa amethibitishwa kuwa mwadilifu+ zaidi kuliko yule mwingine; kwa sababu kila mtu anayejiinua atafedheheshwa, bali yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+
16 Kwa hiyo, kwa sababu wewe ni vuguvugu na si moto+ wala si baridi,+ nitakutapika kutoka kinywani mwangu.