Methali 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kama baridi ya theluji+ siku ya mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wanaomtuma, kwa maana yeye huiburudisha nafsi ya mabwana wake.+ Methali 25:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kama maji baridi kwa nafsi iliyochoka+ ndivyo ilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.+
13 Kama baridi ya theluji+ siku ya mavuno ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wanaomtuma, kwa maana yeye huiburudisha nafsi ya mabwana wake.+