9 Macho yako na yawe katika shamba watakalovuna, nawe uende nao. Je, sikuwaamuru vijana wasikuguse?+ Unapokuwa na kiu, uende kwenye vyombo, ukanywe waliyoyateka+ hao vijana.”
42 Na yeyote yule anayempa mmoja wa wadogo hawa kikombe tu cha maji baridi ya kunywa kwa sababu ni mwanafunzi, kwa kweli ninawaambia ninyi, huyo hatapoteza thawabu yake kamwe.”+