40 Na mfalme+ atajibu na kuwaambia, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo mlimtendea hilo mmoja wa walio wadogo zaidi+ wa ndugu zangu+ hawa, mlinitendea mimi.’+
41 Kwa maana yeyote anayewapa ninyi kikombe+ cha maji ya kunywa kwa sababu ninyi ni watu wa Kristo,+ kwa kweli ninawaambia ninyi, hatapoteza kamwe thawabu yake.
10 Kwa maana Mungu hakosi kuwa mwadilifu hivi kwamba asahau kazi yenu na upendo mlioonyesha kwa ajili ya jina lake,+ kwa kuwa mmewahudumia watakatifu+ nanyi mnaendelea kuhudumu.