40 Na mfalme+ atajibu na kuwaambia, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo mlimtendea hilo mmoja wa walio wadogo zaidi+ wa ndugu zangu+ hawa, mlinitendea mimi.’+
9 Hata hivyo, ninyi hampatani na mwili, bali mnapatana na roho,+ ikiwa kweli roho ya Mungu inakaa ndani yenu.+ Lakini ikiwa mtu yeyote hana roho+ ya Kristo, mtu huyo si wake.
7 Mnayatazama mambo kulingana na thamani yake ya juujuu.+ Mtu yeyote akijitegemea mwenyewe kwamba ni wa Kristo, acheni yeye atie akilini tena jambo hili kwa ajili yake mwenyewe, kwamba, kama vile yeye alivyo wa Kristo, ndivyo na sisi pia.+