-
2 Wakorintho 10:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Mnayatazama mambo kulingana na thamani yake ya nje. Mtu yeyote akijiamini kwamba yeye ni wa Kristo, acheni afikirie tena jambo hili: Kama vile yeye alivyo wa Kristo, ndivyo na sisi pia.
-
-
2 Wakorintho 10:7Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
7 Nyinyi mwatazama mambo kulingana na thamani yayo ya uso. Ikiwa yeyote ajiitibari mwenyewe kwamba ni wa Kristo, acheni yeye azingatie tena jambo hili kwa ajili yake mwenyewe, kwamba, kama vile yeye alivyo wa Kristo, ndivyo na sisi pia.
-