2 Wakorintho 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.” Waebrania 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana yeye anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hii yeye haoni aibu kuwaita “ndugu,”+
20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.”
11 Kwa maana yeye anayetakasa na wale wanaotakaswa+ pia wote hutokana na mmoja,+ na kwa sababu hii yeye haoni aibu kuwaita “ndugu,”+