Yohana 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami ninajitakasa kwa ajili yao, ili wao pia watakaswe+ kwa njia ya ile kweli. Waebrania 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana ni kwa toleo moja la dhabihu+ kwamba yeye amewafanya wale wanaotakaswa wawe wakamilifu+ daima.
14 Kwa maana ni kwa toleo moja la dhabihu+ kwamba yeye amewafanya wale wanaotakaswa wawe wakamilifu+ daima.