2 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini Mungu apewe shukrani, ambaye sikuzote hutuongoza+ katika maandamano yenye shangwe ya ushindi kwa kushirikiana+ na Kristo naye huifanya harufu ya ujuzi juu yake yeye ifahamike kupitia sisi kila mahali!+
14 Lakini Mungu apewe shukrani, ambaye sikuzote hutuongoza+ katika maandamano yenye shangwe ya ushindi kwa kushirikiana+ na Kristo naye huifanya harufu ya ujuzi juu yake yeye ifahamike kupitia sisi kila mahali!+