Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho 2:1

Marejeo

  • +Ro 9:2

2 Wakorintho 2:2

Marejeo

  • +1Ko 4:21

2 Wakorintho 2:3

Marejeo

  • +2Ko 12:21
  • +2Ko 7:16
  • +Gal 5:10

2 Wakorintho 2:4

Marejeo

  • +Mdo 20:31
  • +2Ko 7:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1996, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 11/1 11

2 Wakorintho 2:5

Marejeo

  • +1Ko 5:1

2 Wakorintho 2:6

Marejeo

  • +1Ti 5:20

2 Wakorintho 2:7

Marejeo

  • +Lu 15:24
  • +Ebr 12:12

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/15/2010, uku. 13

    10/1/1998, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 6/15 13; w98 10/1 17-18

2 Wakorintho 2:8

Marejeo

  • +Ro 12:10; Kol 1:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, uku. 20

    10/1/1998, uku. 17

    Amkeni!,

    12/8/1993, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w98 10/1 17

2 Wakorintho 2:9

Marejeo

  • +2Ko 10:6

2 Wakorintho 2:10

Marejeo

  • +Yoh 20:23

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2006, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 1/15 29

2 Wakorintho 2:11

Marejeo

  • +Lu 22:31; Efe 6:12; 2Ti 2:26
  • +Efe 6:11; 1Pe 5:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2006, uku. 27

    1/15/2006, uku. 29

    8/15/2002, kur. 26-28

    10/1/1998, uku. 18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w06 1/15 29; w06 11/15 27; w02 8/15 26-28; w98 10/1 18

2 Wakorintho 2:12

Marejeo

  • +Mdo 16:8; 20:6
  • +1Ko 16:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 166

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1998, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 166; w98 11/15 30

2 Wakorintho 2:13

Marejeo

  • +Gal 2:3; Tit 1:4
  • +Mdo 16:9; 2Ko 7:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Ushahidi, uku. 166

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/1998, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    bt 166; w98 11/15 30

2 Wakorintho 2:14

Marejeo

  • +Zb 68:7
  • +Ufu 14:4
  • +Mdo 8:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    8/1/2010, uku. 23

    9/1/2005, uku. 31

    11/15/1990, kur. 27-28

    7/15/1990, kur. 10-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 8/1 23; w05 9/1 31

2 Wakorintho 2:15

Marejeo

  • +Efe 5:2
  • +1Ko 1:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    8/1/2010, uku. 23

    7/15/2008, uku. 28

    9/1/2005, uku. 31

    11/15/1990, kur. 27-28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 8/1 23; w08 7/15 28; w05 9/1 31

2 Wakorintho 2:16

Marejeo

  • +Yoh 15:19; 2Ko 4:3; 1Pe 2:8
  • +1Ko 15:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    8/1/2010, uku. 23

    7/15/2008, uku. 28

    9/1/2005, uku. 31

    11/15/1990, kur. 27-28

    7/15/1990, kur. 11-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 8/1 23; w08 7/15 28; w05 9/1 31

2 Wakorintho 2:17

Marejeo

  • +2Ko 4:2
  • +2Ko 11:13
  • +2Ko 12:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/1/1992, kur. 26-29

    7/15/1990, uku. 12

    10/15/1987, uku. 19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 2:1Ro 9:2
2 Kor. 2:21Ko 4:21
2 Kor. 2:32Ko 12:21
2 Kor. 2:32Ko 7:16
2 Kor. 2:3Gal 5:10
2 Kor. 2:4Mdo 20:31
2 Kor. 2:42Ko 7:8
2 Kor. 2:51Ko 5:1
2 Kor. 2:61Ti 5:20
2 Kor. 2:7Lu 15:24
2 Kor. 2:7Ebr 12:12
2 Kor. 2:8Ro 12:10; Kol 1:4
2 Kor. 2:92Ko 10:6
2 Kor. 2:10Yoh 20:23
2 Kor. 2:11Lu 22:31; Efe 6:12; 2Ti 2:26
2 Kor. 2:11Efe 6:11; 1Pe 5:8
2 Kor. 2:12Mdo 16:8; 20:6
2 Kor. 2:121Ko 16:9
2 Kor. 2:13Gal 2:3; Tit 1:4
2 Kor. 2:13Mdo 16:9; 2Ko 7:5
2 Kor. 2:14Zb 68:7
2 Kor. 2:14Ufu 14:4
2 Kor. 2:14Mdo 8:5
2 Kor. 2:15Efe 5:2
2 Kor. 2:151Ko 1:18
2 Kor. 2:16Yoh 15:19; 2Ko 4:3; 1Pe 2:8
2 Kor. 2:161Ko 15:10
2 Kor. 2:172Ko 4:2
2 Kor. 2:172Ko 11:13
2 Kor. 2:172Ko 12:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 2:1-17

2 Wakorintho

2 Kwa maana hili ndilo nimejiamulia mwenyewe, nisije kwenu tena kwa huzuni.+ 2 Kwa maana nikiwahuzunisha ninyi,+ kwa kweli ni nani aliyeko wa kunichangamsha isipokuwa yeye ambaye mimi ninamhuzunisha? 3 Na kwa hiyo niliandika jambo hili, ili, nitakapokuja, nisihuzunike+ kwa sababu ya wale ambao ninapaswa kushangilia juu yao;+ kwa sababu nina uhakika+ katika ninyi nyote kwamba shangwe niliyo nayo ni ile yenu nyote. 4 Kwa maana kutokana na dhiki nyingi na maumivu makali ya moyo niliwaandikia ninyi kwa machozi mengi,+ si ili mhuzunishwe,+ bali ili muujue upendo nilio nao hasa zaidi kwa ajili yenu.

5 Basi ikiwa yeyote amesababisha huzuni,+ amehuzunisha, si mimi, bali ninyi nyote kwa kadiri fulani—nisiwe mkali mno kwa yale ninayosema. 6 Kemeo+ hili linalotolewa na walio wengi linamtosha mtu wa namna hiyo, 7 ili kwamba, kinyume chake sasa, mnapaswa kumsamehe+ kwa fadhili na kumfariji, ili kwa njia fulani mtu huyo asimezwe na huzuni yake ya kupita kiasi.+ 8 Kwa hiyo nawahimiza ninyi kumthibitishia upendo+ wenu. 9 Kwa maana kwa lengo hili pia ninaandika ili kuhakikisha uthibitisho wenu, kama ninyi ni watiifu katika mambo yote.+ 10 Jambo lolote ambalo mnamsamehe yeyote kwa fadhili, mimi vilevile namsamehe.+ Kwa kweli, kwa habari yangu mimi, lolote lile ambalo nimesamehe kwa fadhili, ikiwa nimesamehe kwa fadhili jambo lolote, imekuwa ni kwa ajili yenu machoni pa Kristo; 11 ili Shetani+ asitushinde akili, kwa maana sisi hatukosi kuzijua mbinu zake.+

12 Basi nilipofika Troa+ kutangaza habari njema juu ya Kristo, nami nikafunguliwa mlango katika Bwana,+ 13 sikupata kitulizo katika roho yangu kwa sababu ya kukosa kumkuta Tito+ ndugu yangu, bali niliwaaga kisha nikaondoka kwenda Makedonia.+

14 Lakini Mungu apewe shukrani, ambaye sikuzote hutuongoza+ katika maandamano yenye shangwe ya ushindi kwa kushirikiana+ na Kristo naye huifanya harufu ya ujuzi juu yake yeye ifahamike kupitia sisi kila mahali!+ 15 Kwa maana kwa Mungu sisi ni harufu tamu+ ya Kristo katikati ya wale wanaookolewa na katikati ya wale wanaoangamia;+ 16 kwa hawa wa mwisho ni harufu inayotoka katika kifo mpaka kifo,+ kwa wale wa kwanza ni harufu inayotoka katika uzima mpaka uzima. Na ni nani ambaye ana sifa za kustahili vya kutosha kwa ajili ya mambo haya?+ 17 Ni sisi; kwa maana sisi si wachuuzi wa neno la Mungu+ kama watu wengi walivyo,+ bali tunasema kwa unyoofu wa moyo, ndiyo, tukiwa waliotumwa kutoka kwa Mungu, machoni pa Mungu, kwa kushirikiana na Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki