-
2 Wakorintho 2:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Mkimsamehe mtu yeyote jambo lolote, mimi pia ninamsamehe. Kwa kweli, lolote ambalo nimesamehe (ikiwa nimesamehe jambo lolote) ni kwa ajili yenu machoni pa Kristo,
-
-
2 Wakorintho 2:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Jambo lolote ambalo mwasamehe yeyote kwa fadhili, mimi vilevile namsamehe. Kwa kweli, kwa habari yangu mimi, lolote lile ambalo nimesamehe kwa fadhili, ikiwa nimesamehe kwa fadhili jambo lolote, imekuwa ni kwa ajili yenu machoni pa Kristo;
-