2 Wakorintho 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo hata kama niliwahuzunisha ninyi kwa barua yangu,+ mimi sijuti juu ya jambo hilo. Hata kama hapo mwanzoni nilijuta juu ya jambo hilo, (naona kwamba barua hiyo iliwahuzunisha ninyi, ingawa ni kwa kitambo kidogo,)
8 Kwa hiyo hata kama niliwahuzunisha ninyi kwa barua yangu,+ mimi sijuti juu ya jambo hilo. Hata kama hapo mwanzoni nilijuta juu ya jambo hilo, (naona kwamba barua hiyo iliwahuzunisha ninyi, ingawa ni kwa kitambo kidogo,)