4 Kwa maana kutokana na dhiki nyingi na maumivu makali ya moyo niliwaandikia ninyi kwa machozi mengi,+ si ili mhuzunishwe,+ bali ili muujue upendo nilio nao hasa zaidi kwa ajili yenu.
10 Kwa maana, wao husema: “Barua zake ni nzito na zenye nguvu nyingi, lakini kuwapo kwake mwenyewe kimwili ni dhaifu+ na maneno yake ni yenye kudharaulika.”+