2 Wakorintho 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi mimi mwenyewe, Paulo, nawasihi ninyi kwa upole+ na fadhili+ za Kristo, ingawa kuonekana kwangu+ katikati yenu ni kwa hali ya chini, lakini nisipokuwapo mimi ni jasiri kuwaelekea ninyi.+ Wagalatia 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mnajua kwamba ilikuwa kupitia ugonjwa wa mwili wangu kwamba niliwatangazia ninyi habari njema mara ya kwanza.+
10 Basi mimi mwenyewe, Paulo, nawasihi ninyi kwa upole+ na fadhili+ za Kristo, ingawa kuonekana kwangu+ katikati yenu ni kwa hali ya chini, lakini nisipokuwapo mimi ni jasiri kuwaelekea ninyi.+
13 Lakini mnajua kwamba ilikuwa kupitia ugonjwa wa mwili wangu kwamba niliwatangazia ninyi habari njema mara ya kwanza.+