Matendo 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na usiku maono+ yakamtokea Paulo: mwanamume fulani Mmakedonia alikuwa amesimama akimsihi na kusema: “Vuka uingie Makedonia utusaidie.” 2 Wakorintho 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, tulipofika Makedonia,+ mwili wetu haukupata kitulizo,+ bali tuliendelea kutaabishwa+ katika kila namna—kulikuwa na mapigano nje, woga ndani.
9 Na usiku maono+ yakamtokea Paulo: mwanamume fulani Mmakedonia alikuwa amesimama akimsihi na kusema: “Vuka uingie Makedonia utusaidie.”
5 Kwa kweli, tulipofika Makedonia,+ mwili wetu haukupata kitulizo,+ bali tuliendelea kutaabishwa+ katika kila namna—kulikuwa na mapigano nje, woga ndani.