Ayubu 33:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+ Matendo 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Katika Damasko kulikuwa na mwanafunzi fulani aliyeitwa Anania,+ naye Bwana akamwambia katika maono: “Anania!” Akasema: “Mimi hapa, Bwana.” 2 Wakorintho 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lazima nijisifu. Haina faida; lakini nitaendelea katika maono+ ya miujiza na ufunuo wa Bwana.
15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,Wakati wa kusinzia kitandani.+
10 Katika Damasko kulikuwa na mwanafunzi fulani aliyeitwa Anania,+ naye Bwana akamwambia katika maono: “Anania!” Akasema: “Mimi hapa, Bwana.”