Matendo 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ‘ “Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili, nao wana wenu na binti zenu watatoa unabii nao wanaume wenu vijana wataona maono na wazee wenu wataota ndoto;+ Matendo 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Lakini nilipokuwa nimerudi Yerusalemu+ na nikiwa ninasali hekaluni, nikapata njozi+
17 ‘ “Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili, nao wana wenu na binti zenu watatoa unabii nao wanaume wenu vijana wataona maono na wazee wenu wataota ndoto;+