Luka 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Simoni, Simoni, tazama! Shetani+ amedai kuwapata ninyi ili awapepete kama ngano.+ Waefeso 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kwa sababu tuna kushindana mweleka,+ si juu ya damu na mwili, bali juu ya serikali,+ juu ya mamlaka,+ juu ya watawala wa ulimwengu+ wa giza hili, juu ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu. 2 Timotheo 2:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 nao warudiwe na fahamu zao nzuri ili watoke katika mtego+ wa Ibilisi, kwa kuwa amewashika wakiwa hai+ kwa ajili ya mapenzi ya huyo.
12 kwa sababu tuna kushindana mweleka,+ si juu ya damu na mwili, bali juu ya serikali,+ juu ya mamlaka,+ juu ya watawala wa ulimwengu+ wa giza hili, juu ya majeshi ya roho waovu+ katika mahali pa kimbingu.
26 nao warudiwe na fahamu zao nzuri ili watoke katika mtego+ wa Ibilisi, kwa kuwa amewashika wakiwa hai+ kwa ajili ya mapenzi ya huyo.