Zaburi 124:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+ Yohana 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.” Matendo 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba? 1 Timotheo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Himenayo+ na Aleksanda+ ni kati ya hao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani+ ili wafundishwe kwa nidhamu kutokufuru.+
7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+Mtego umevunjwa,+Na sisi tumeponyoka.+
27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.”
3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?
20 Himenayo+ na Aleksanda+ ni kati ya hao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani+ ili wafundishwe kwa nidhamu kutokufuru.+