Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 124:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nafsi yetu ni kama ndege ambaye ameponyoka+

      Kutoka katika mtego wa watega-chambo.+

      Mtego umevunjwa,+

      Na sisi tumeponyoka.+

  • Yohana 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.”

  • Matendo 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Petro akasema: “Anania, kwa nini Shetani+ amekupa ujasiri wa kuidanganya+ roho takatifu+ na kujiwekea kwa siri kiasi fulani cha bei ya shamba?

  • 1 Timotheo 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Himenayo+ na Aleksanda+ ni kati ya hao, nami nimewatia mkononi mwa Shetani+ ili wafundishwe kwa nidhamu kutokufuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki