1 Wakorintho 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 mkamkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho+ iokolewe katika siku ya Bwana.+ 1 Wakorintho 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 huku Mungu akiwahukumu wale walio nje?+ “Ondoeni yule mtu mwovu kati yenu.”+
5 mkamkabidhi mtu wa namna hiyo kwa Shetani+ kwa ajili ya kuangamizwa kwa mwili, ili roho+ iokolewe katika siku ya Bwana.+