Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 30:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa mwanamume ataweka nadhiri+ kwa Yehova au ikiwa ataapa kiapo+ ili kufunga nadhiri ya kujiepusha+ juu ya nafsi yake, hapaswi kulivunja neno lake.+ Anapaswa kufanya kulingana na yote ambayo yametoka kinywani mwake.+

  • Mhubiri 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wakati wowote unapoweka nadhiri kwa Mungu, usisite kuitimiza,+ kwa maana hapendezwi na wajinga.+ Kile unachoweka nadhiri, timiza.+

  • Matendo 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa hiyo Petro akamwambia: “Kwa nini mlikubaliana kati yenu wawili kuijaribu+ roho ya Yehova? Tazama! Miguu ya wale waliomzika mume wako ipo mlangoni, nao watakubeba na kukutoa nje.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki